MESSAGE


I made this widget at MyFlashFetish.com.

Friday, October 19, 2012

VURUGU ZATANDA JIJINI DAR ES SALAAM

Baada ya mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadick kuzuia maandamano yaliokuwa yamepangwa kufanywa  leo hii na waumini wa dini ya kiislam baada ya swala ya ijumaa, Nia yao ikiwa ni kuishinikiza serikali kumwachia sheikh Ponda na malalamiko mengine kama walivyoyaorodhesha.


Lakini baadae hali ya hewa ikaja kubadilika kwa waliokuwa wakaidi amri hiyo na kujikuta matatani, Pale jeshi la polisi lilipoamua kuingilia kati kuzuia vurugu hizo.
Kama inavyoonekana kwenye picha
 Mmojawapo wa waliokamatwa akiwa chini ya ulinzi wa polisi

Wazee wa kazi wakilinda maeneo ya jiji
Ni ulinzi kila kona ya jiji

Askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), wakiwa katika Mitaa ya Kariakoo na viunga vyake kuimarisha ulinzi.

Mitaa ya Msimbazi Kariakoo
Maktaba House





No comments:

Post a Comment