MESSAGE


I made this widget at MyFlashFetish.com.

Monday, March 19, 2012

KWAYA YA HOSANA WAZINDUA ALBUM YAO

Jana ilikuwa siku ya furaha kwa Kwaya ya HOSANA C.C.T ya chuo kikuu cha Dar es Salaam, Pale walipozindindua Album yao Ijulikanayo kwa jina la UNITEGEMEZE. Iliyozinduliwa katika Ukumbi mpya wa UDSM. Iliyozinduliwa na mgeni rasmi bwana Msama. Wengi wanamfahamu kwa jina la Msana Promotions. Pia tamasha hilo la uzinduzi wa album yao lilisindikizwa na kwaya mbalimbali.

 Album yenyewe ndo hii hapa

 MC wa shughuli alikuwa Rita Chiwalo kama kawaida yake full kushagweka tu

 Mchungaji Hiza akimkabidhi mgeni rasmi CD ili aweze kuizindua

 MC Rita akimshirikisha jambo mgeni rasmi

 Bonge George wa Mtoni Lulu akiwa na my wife wake wakipledge wakati wa uzinduzi

 Bonge akizungumza jambo huku Joseph Msami na Rita Chiwalo wakimsikiliza

 Haya wale wa enzi za mwalimu mnakikumbuka kiatu hiki? Hili kiatu alivaa Joseph Msami jana

 Charles Tobias Malya nae alikuwepo kushusha ze upako

 Wana Lulu mtoni wakijimwaga kwenye stage

 The Rippers on the stage nao walikuwepo

 Trinity Band wakionyesha umahiri wa kusifu Mungu

 The Voice hawakukosa katika miondoko ya Acapela 

 Kijitonyama Uinjilisti wakijimwaya katika sebene la sifa

 Hapa ni pale sebene lilipokolea admin akaweka camera chini na kuungana na wenzake na kuanza kucheza mbele za Bwana

 Baadhi ya watu waliokuwepo katika ukumbi ambapo tamasha hilo lilifanyika

 Hosana kwaya ambao ndio walikuwa wageni wa tamasha hilo la kuzindua cd yao mpya wakiwa stejini

 Kwakweli walipendeza sana, tafuta cd yao mpya upate kuisikiliza


Wakamaliza kwa kusoma risala mbele ya mgeni rasmi

No comments:

Post a Comment