MESSAGE


I made this widget at MyFlashFetish.com.

Monday, November 8, 2010

Vijana wa Usharika Waweka Mikakati ya Kujikwamua

Jana jioni vijana wa KKKT usharika wa Kijitonyama, Walipata muda wa kukaa na kuzungumza mambo mbali mbali yahusuyo mambo yao. Miongoni mwa mikakati waliyonayo. Ni kuhakikisha kila kijana wa kanisa anamjua Mungu. Lakini pia kushiriki katika mambo mbalimbali ya jamii ikiwa ni pamoja na michezo, Kujifunza vyombo mbalimbali vya muziki. Na mengine mengi ikiwa ni pamoja na mipango ya kujikwamua kiuchumi. Kwa kuanzia vijana wameanza kwa kujisajiri kupitia fomu, simu ya mkononi, Pia kwa internet ambapo website itatoka hivi karibuni.

Fuatana nami uone matukio katika picha


Brain Storming!!
Katibu wa Vijana wa usharika, Bi. Neema Mrema akiwa busy kuchukua notes
Kwa pamoja kila mtu akitafakari nini azungumze ilimradi tu kufanikisha mipango
Mshiriki mmojawapo na kiongozi wa Felowship akichangia jambo.

Mzee wa kanisa kijana, Bw. Renard Shayo akisisitiza jambo.
Baade walipata mlo wa pamoja
Chakula kilipozidi kuwa kitamu automatically points zikaanza kupotea!!

No comments:

Post a Comment