Lengo kuu lilikuwa kuuzindua jengo la ibada na harambee ya kuchangia umaliziaji wa jengo hilo. Makusudio yao ilikuwa kufikisha milioni 30. Kupitia "pledges" na vitu vilivyoletwa kunadiwa.
Angalia matukio kwa ufupi katika picha.
Anayeonekana nyuma ni mchungaji Anta Muro Mchungaji na mkuu wa jimbo la kaskazini
wa kwaya ya uinjilisti Kijito
No comments:
Post a Comment