MESSAGE


I made this widget at MyFlashFetish.com.

Monday, October 4, 2010

Kwaya ya Uinjilisti Katika Huduma ya UEM

Juzi Jumamosi kwaya ya Uinjilisti Ilipata kualikwa kuhudumu Katika Mkutano wa UEM
United Evangelical Mission Unaoendelea katika kanisa la KKKT Kunduchi.
Kwa muda watakriban wiki moja hivi.

Na haya ndiyo yaliyojiri katika picha.
Kweli kuimba ni raha jamani. Hebu waone hawa kina dada wanavyofurahi!

Mzee wa mpini wa solo Micah Songo akipigiwa makofi na mwanamuziki mwenzie!

Hiyo ni style maarufu kwa jina "twende kwa Yesu" Ona inavyochezwa!

Watoto wa Kijitonyama KKKT nao hawakubaki nyuma katima kucheza

Mambo ya ngonjela hayo. Wanafanya vizuri sana katika fani hiyo.
Hawa nao walikuwa wakimsifu Mungu kwa style zao!

Mmmmh! Palikuwa hapatoshi. Vijana hawa waliuteka umati wa watu kwa kucheza

Kijana Joshua akionyesha umahiri wake wa kucheza ngoma ya Kigogo
Kila mtu alikuwa anacheza kadri roho alivyomjalia


Walioshika nao kila mtu anaimba kwa hisia

Haya wale viongozi wa goma la asili ya kigogo Oliva na Mushi wakiimba kwa Hisia.

Safu ya Muziki nayo Ilikuwa imekamilika. Kwa karibu kijana machachari Kibambe Akizikwida ngoma kweli kweli!

Haya sasa vijana wakiwa kazini. Ni utumishi tu!

Kinadada wakiwa wamevaa vazi la asili la kigogo

No comments:

Post a Comment