MESSAGE


I made this widget at MyFlashFetish.com.

Tuesday, September 27, 2011

Jacob na Martha Waingia Kwenye Chama

Juzi kati tarehe 24 Septemba 2011, Jacob Absalom wa Mwaipaja aliamua kuvunja ukimya kwa Martha Abraham wa Lubwaza  pale alipokiri adharani mbele ya watu lukuki na kujikuta akisema "I DO" kutokea moyoni mwake bila ya shinikizo la mtu yeyote ndivyo alivyofanya Martha kwa Jacob pia. Ikawa ni siku ya furaha kwa watu wote waliofika K.K.K.T Kijitonyama kwenye ibada ya ndoa na waliofika katika ukumbi wa Sunset Halls (Flamingo) Mbezi ya Africana jijini Dar es Salaam, Kwa wewe ambaye hukuweza kufika ambatana nami katika picha hizi.

No comments:

Post a Comment