Katika hali ya huzuni, simanzi na majonzi mengi. Jana mnamo saa saba na nusu Mchana tulishuhudia Ibada ya Kumuaga Edmund Mushi. Ulikuwa wakati mgumu kwa familia yake, kwaya ya Uinjilisti Kijitonyama pamoja na Baraza la Wazee. Fuatana nami kwa matukio haya katika picha.
Mungu na awatie nguvu, Amen.
ReplyDeletejamani Edmund yaani sikuamini nilipoona kwenye blog nyingine!tatizo nini jamani poleni sana wafiwa mke na watoto pia poleni sana wana K/NYAMA Wenzangu tupo pamoja katika wakati huu mgumu!
ReplyDeleteSisi tulikupenda EDMUND MUSHI LAKINI MUNGU AMEKUPENDA ZAIDI!
LEO NDIYO NAZIDI KUAMINI ZAIDI!NIMEWAMISS JAMANI KWELI!